Niambie

Lyrics
[Verse 1] Hapa Nyumbani unajua We njo moyo Jamaa inakupenda piya hauoni Niambie jua nini unataka wende We dada Uki enda na Mbali Mi nta gonda Safari yako Mbone shida we dada Niambie jua nini unataka wende [Pre-Chorus] We dada Uki Enda Fata Njia Ile uta acha watoto We dada Uki Enda Fata Njia Ile Utanivunja Moyo [Chorus] Umeona machozi ginsi in a shukaa Watoto wetu wata baki na nani We njo fuhaha yetu baki basi Tu ongeye [Verse 2] Baki Tukae pamoja Mpaka mwisho Najuwa mi Sikupe wakati Zongeya Nimabiie jua nini unataka wende We mama ukibeba mapenzi Yako mbali Dunia itakuwa Giza hanuone Niambie jua nini unataka wende [Pre-Chorus] We dada Uki Enda Fata Njia Ile uta acha watoto We dada Uki Enda Fata Njia Ile Utanivunja Moyo [Chorus] Umeona machozi ginsi in a shukaa Watoto wetu wata baki na nani We njo fuhaha yеtu baki basi Tu ongeye [Bridge] We dada Uki Enda Fata Njia Ilе uta acha watoto We dada Uki Enda Fata Njia Ile Utanivunja Moyo [Chorus] Umeona machozi ginsi in a shukaa Watoto wetu wata baki na nani We njo fuhaha yetu baki basi Tu ongeye
Rate this song
0/5.0 - 0 Ratings
Loading comments...
Credits
- Writers
- Batundi
- TRESOR