Jambo

Lyrics
[Intro: Ziggy Marley] Hey, this is a song from Kenya In the language of Swahili from Africa Hello mister, hello sister No problem, no worries Oh, yeah! [Chorus 1: Ziggy Marley] Jambo, jambo bwana Habari gani? Mzuri sana Wageni, mwakaribishwa Nyumba yetu, hakuna matata [Chorus 1: Angélique Kidjo] Jambo, jambo bwana Habari gani? Mzuri sana Wageni, mwakaribishwa Nyumba yetu, hakuna matata [Verse 1: Ziggy Marley & Angélique Kidjo] Tujenge pamoja, hakuna matata Amani kwa dunia, hakuna matata Uhuru na undugu, hakuna matata Afya na shupavu, hakuna matata Harambe sawa sawa, hakuna matata [Chorus 2: Ziggy Marley] Jambo, jambo dada Habari gani? Mzuri sana Wageni, mwakaribishwa Nyumba yetu, hakuna matata [Chorus 2: Angélique Kidjo] Jambo, jambo dada Habari gani? Mzuri sana Wageni, mwakaribishwa Nyumba yetu, hakuna matata [Verse 2: Ziggy Marley & Angélique Kidjo] Vile nakupenda, hakuna matata Kila siku ubarikiwe, hakuna matata Sasa watu wetu wote, hakuna matata Furaha na baraha, hakuna matata Hakuna matata, hakuna matata [Chorus 1 & 2: Ziggy Marley & Angélique Kidjo] Jambo, jambo bwana Habari gani? Mzuri sana Wageni, mwakaribishwa Nyumba yetu, hakuna matata Jambo, jambo dada Habari gani? Mzuri sana Wageni, mwakaribishwa Nyumba yetu, hakuna matata [Verses 1 & 2: Ziggy Marley & Angélique Kidjo] Tujenge pamoja, hakuna matata Amani kwa dunia, hakuna matata Uhuru na undugu, hakuna matata Afya na shupavu, hakuna matata Harambe sawa sawa, hakuna matata Vile nakupenda, hakuna matata Kila siku ubarikiwe, hakuna matata Sasa watu wetu wote, hakuna matata Furaha na baraha, hakuna matata Hakuna matata, hakuna matata [Verses 1 & 2: Angélique Kidjo & Both] Tujenge pamoja, hakuna matata Amani kwa dunia, hakuna matata Uhuru na undugu, hakuna matata Afya na shupavu, hakuna matata Harambe sawa sawa, hakuna matata Vile nakupenda, hakuna matata Kila siku ubarikiwe, hakuna matata Sasa watu wetu wote, hakuna matata Furaha na baraha, hakuna matata Hakuna matata, hakuna matata
Rate this song
0/5.0 - 0 Ratings
Loading comments...
Credits
- Writers
- Ziggy Marley
- Edebe Kalambay
- Russell Robinson
- Teddy Harrison