Malaika

Lyrics
[Verse] Malaika, nakupenda, Malaika Malaika, nakupenda, Malaika Ningekuoa mali we, ningekuoa dada Nashindwa na mali sina, we ningekuoa, Malaika Nashindwa na mali sina, we ningekuoa, Malaika Pesa zasumbua roho yangu Pesa zasumbua roho yangu Nami nifanyeje, kijana mwenzio Nashindwa na mali sina, we ningekuoa, Malaika Nashindwa na mali sina, we ningekuoa, Malaika Kidege, hukuwaza kidege Kidege, hukuwaza kidege Nami nifanyeje, kijana mwenzio Nashindwa na mali sina, we ningekuoa, Malaika Nashindwa na mali sina, we ningekuoa, Malaika Pesa zasumbua roho yangu Pesa zasumbua roho yangu Nami nifanyeje, kijana mwenzio Nashindwa na mali sina, we ningekuoa, Malaika Nashindwa na mali sina, we ningekuoa, Malaika Ningekuoa, Malaika Ningekuoa, Malaika
Rate this song
0/5.0 - 0 Ratings
Loading comments...